Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewahimiza wananchi kudumisha na kuuenzi Muungano wa Taganyika na Zanzibar na kuwahakikishia wananchi wa pande Mbili kuwa kero chache za Muungano ambazo zimebaki zitamalizwa kwa mazungumzo kama hatua ya kudumisha Muungano huo.
Tazama hapa moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma kipindi cha Maswali na Majibu katika Bunge la 11, Mkutano wa Saba leo Aprili 24, 2017. Bofya hapo chini Kutazama.
• Player has been linked with a return to Manchester United • New Real manager is also 'happy to have' Gonzalo HiguaĆn Cristiano Ronaldo has two years left on his current contract with Real Madrid. The new Real Madrid manager, Carlo Ancelotti, expects Cristiano Ronaldo to sign a new contract, despite reports linking him with a move away from the club this summer. The Portuguese has been the subject of speculation about a possible return to his former club Manchester United, and the Paris Saint-Germain president, Nasser Al-Khelaifi, has publicly stated his interest in the forward. But Ronaldo has two years left on his current deal in the Spanish capital and, during a press conference in Madrid on Saturday, Ancelotti was quick to praise his top scorer. "Everyone knows that he is a superstar and a great player," Ancelotti said. "The most important thing for the club is that a player of his quality shows the utmost professionalism. That is good, esp...
Comments
Post a Comment